Joshua 23:13

13 abasi mwe na hakika kuwa Bwana Mwenyezi Mungu wenu hatawafukuza tena mataifa hayo mbele yenu. Badala yake, watakuwa tanzi na mitego kwenu, mijeledi migongoni mwenu, na miiba machoni mwenu, mpaka mwangamie kutoka nchi hii nzuri, ambayo Bwana Mwenyezi Mungu wenu amewapa.

Copyright information for SwhKC